@kinomussa:
RT @FikraPevu: Katika maisha yake yote ya kuhoji, wakati mwingine akionekana mkorofi, Mzee Kingunge alikuwa na sifa 1 kubwa; mzalendo na mw…
- 6 years ago
@IbrahimMwetta:
RT @MtanzaniaNews: #PICHA Rais John Pombe Magufuli aongoza mamia ya watu kumzika aliyekuwa mwanasiasa mkongwe nchini Kingunge Ngombale Mwir…
- 6 years ago
@chalekamalamo:
RT @DrTaxs: Mwenyezi Mungu ailaze pema peponi roho ya Mzee wetu Kingunge Ngombale Mwiru. Bwana ametoa, bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe…
- 6 years ago
@Amanisangala11:
RT @DewjiBlog: #DewjiBlogNews: Mwanasiasa mkongwe nchini, Mzee Kingunge Ngombale-Mwiru amefariki dunia alfajiri ya leo.
- 6 years ago
@ZourhaM:
RT @MwananchiNews: Rais Dkt.John Pombe Magufuli amewasili katika makaburi ya Kinondoni Jijini Dar es salaam kushiriki maziko ya mwanasiasa…
- 6 years ago
@ZourhaM:
RT @MwananchiNews: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muunganio wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali wakati akiwas…
- 6 years ago
@BendackM:
RT @CloudsMediaLive: Kingunge Ngombale Mwiru hakuwa Mmarxisti” au “Mcommunisti” au nani..? Yeye alipenda kujiita “independent thinker” and…
- 6 years ago